House4Rent Nyumba za Kupanga - Dar es Salaam

Joined
Sep 25, 2016
Posts
76
Reaction score
20
1. Apatiment- Kunduchi Beach
Ina Vyumba 2 Kimoja Kina Choo ndani, Sebule, Jiko na Choo cha Kuchangia.
Ina Fensi, Maji ya dawasco, Luku yake .
Inapangishwa Kwa Tsh 350,000 Kwa Mwezi Mmoja, inatakiwa Kodi ya Miezi 6.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
2. Apatiment- Mbezi Beach Shule
Ina Chumba Kimoja Chenye Choo, Sebule, na Jiko.
Ina Fensi, Maji ya dawasco, Parking ya Gari na Luku yake.
Inapangishwa Tshs 250,000/Mwezi, Inatakiwa Kodi ya Miezi 6.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
3. Apatimenti - Mbezi Beach

Ina Vyumba 2 Kimoja kina Choo chake, Sebule, Choo cha Kuchangia na Jiko. Pia Ina Maji ya dawasco, Luku yake, Parking ya Gari na Fensi.

Inapangishwa Tshs 400,000/Mwezi, Inatakiwa Kodi ya Miezi 6.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
4. Apatiment- Mbezi Beach Chini

Ina Chumba Kimoja, Choo cha Kuchangia ndani, Sebule, na Jiko.
Ina Fensi, Maji ya dawasco, Parking ya Gari na Luku yake.

Inapangishwa Tshs 320,000/Mwezi, Inatakiwa Kodi ya Miezi 6.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
5. Apatimenti Mpya - Sinza
Ina Vyumba2, Choo Cha Kuchangia ndani, Sebule, na Jiko.
Ina Fensi, Maji ya dawasco, Parking ya Gari na Luku yake.
Inapangishwa Tshs 500,000/Mwezi, Inatakiwa Kodi ya Mwaka.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
6. Apatimenti - Mbezi Beach Chini

Ina Chumba 1 chenye Choo ndani, Sebule, Jiko na Choo Cha Kushea.

Ina Fensi, Maji ya Dawasco, Parking ya Gari na Luku yake.

Kodi Tshs 350,000/Mwe



Sent using Jamii Forums mobile app
 
7. Apatimenti - Kinondoni Ananasifu

Ina Vyumba2 Kimoja Kina Choo ndani, Sebule, Jiko na Choo Cha Kuchangia ndani.

Ina Fensi, Maji ya Dawasco, Parking ya Gari na Luku yake.

Kodi Tshs 400,000/Mwezi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi wa 10,000 zetu ume tutenga.
 
8. Apatimenti - 2Beds mbezibeach
Zina Furniture ndani.
Ina Vyumba2 Kimoja Kina Choo ndani, Sebule, Jiko na Choo Cha Kuchangia.
Ina Parking, Ac, Maji dawasco ( Ulipii, Imejumuishwa Kwenye Pango), Walinzi Wapo.
Kodi USD 500






Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…