Santieli
Member
- Apr 30, 2014
- 57
- 75
Wakuu walahi mtu unaweza tamani upate walau pesa ya shortcut ili uweze kununua au kujenga banda lako mwenyewe ka kujiegesha ili kuepukana na changamoto za nyumba za kupanga
Mafano Mimi nimepanga nyumba moja hivi, gharama yake kwa mwezi sio kubwa ni kawaida. Nikaamua niwe muungwana nikamwambia mama mwenye nyumba, "maji na umeme nitalipa" akafurahi na kuridhia.
Nina miaka miwili sasa yeye mara nyingi alikua hashindi nyumbani maana alikua matron shule moja ya mission kwa hiyo kaa yake pale nyumbani ilikua likizo ya mwezi wa sita au 12
Kodi nalipa miezi mitatu mitatu na sicheleweshi
Hivi karibuni kafukuzwa kazi kutokana na kutokua na mahusiano mazuri na wanafunzi shuleni.... Sasa kimbembe kimemkuta mke wangu pale home
1) Mke akiamka akimsalimia mama mwenye nyumba haitiki sikunyingine aitike sauti ya chini
2) Watoto wake wakikaa na mke wangu ananuna hadi kwa watoto wake hata wiki mbili
3) Mtoto wangu siku nyingine amtolee mimacho ya kuogofya ili kumtisha mtoto asiingie ndani kwake ila nikiwepo na akajua anajifanya kumpenda na kumuitaita....
4) kumbambikiza chuki mke wangu kwa majirani lakini majirani hawaoni ubaya wake wanakuja kumuambia mke wangu yoyote aliyosema
Aisee ni mengi yaani mlio na vibanda au nyumba zenu hongereni, ila sisi wengine ambao bado nadhani tutamaliza nyumba kwa kuhamahama....
Wale wa nyumba za mfukoni kama mimi mnaishije?
Nokia kitochi
Mafano Mimi nimepanga nyumba moja hivi, gharama yake kwa mwezi sio kubwa ni kawaida. Nikaamua niwe muungwana nikamwambia mama mwenye nyumba, "maji na umeme nitalipa" akafurahi na kuridhia.
Nina miaka miwili sasa yeye mara nyingi alikua hashindi nyumbani maana alikua matron shule moja ya mission kwa hiyo kaa yake pale nyumbani ilikua likizo ya mwezi wa sita au 12
Kodi nalipa miezi mitatu mitatu na sicheleweshi
Hivi karibuni kafukuzwa kazi kutokana na kutokua na mahusiano mazuri na wanafunzi shuleni.... Sasa kimbembe kimemkuta mke wangu pale home
1) Mke akiamka akimsalimia mama mwenye nyumba haitiki sikunyingine aitike sauti ya chini
2) Watoto wake wakikaa na mke wangu ananuna hadi kwa watoto wake hata wiki mbili
3) Mtoto wangu siku nyingine amtolee mimacho ya kuogofya ili kumtisha mtoto asiingie ndani kwake ila nikiwepo na akajua anajifanya kumpenda na kumuitaita....
4) kumbambikiza chuki mke wangu kwa majirani lakini majirani hawaoni ubaya wake wanakuja kumuambia mke wangu yoyote aliyosema
Aisee ni mengi yaani mlio na vibanda au nyumba zenu hongereni, ila sisi wengine ambao bado nadhani tutamaliza nyumba kwa kuhamahama....
Wale wa nyumba za mfukoni kama mimi mnaishije?
Nokia kitochi