sasa nani wanaishi kwenye hizo nyumba jamani; we have established kwamba mawaziri na manaibu wao wengi hawaishi huko. Je ziko tupu?
kwa sababu tumekubali kuwa watawala wao wanastahili maisha ya heri. HIvi mnakumbuka zile nyumba za mawaziri zilijengwa kwa kiasi gani kila moja? Ni mawaziri wangapi wanaishi kwenye nyumba zile? Je Mawaziri wote wanaishi kwenye nyumba zile?
Nilikuwa natafuta specs zake...
Mwanakijiji nadhani swali rahisi liwe nani anaishi nyumba tofauti na zile dedicated kwa mawaziri. Say wanaokaa kwenye nyumba zao, Mimi naanza kuorodhesha:
1. Prof Mark Mwandosya - Kunduchi
2. Hussein Mwinyi - Mbezi Beach
3. Batilda Burian - Mbezi beach
4. Anna Makinda - Sinza
5. Makongoro Mahanga - Segerea
6. Magufuli - Ada Estate
7. ..........
8...............
9.....................
Je yawezekana kuwa zile nyumba hazina "hadhi" ya Waziri au Naibu Waziri?
"Hadhi" ya uwaziri au unaibu uwaziri ndio ikoje hiyo?
Huenda zimefanywa getho za watoto wao
Kuna mawaziri zile nyumba hawakai lakini wanazitumia[na ni wengi tu]....hasa wanapokuwa na mambo yao wanayoitaji kufanya karibu na mjini...kwa maana hiyo wanaweka wanafamilia au walinzi kuwaangalizia....??
Isijekuwa serikali inawalipa posho upande huu.. halafu na wenyewe wanalipwa na watu waliowapangisha upande ule.. halafu mambo yanakuwa juu ya mambo..
Hivi viongozi wetu wamerogwa, inakuwaje kila administration inakuja eti wanajenga nyumba mpya za mawazi, mara makatibu wakuu, mara magavana nao wanajijengea nyumba mpya. Jamani, si tumepata uhuru toka 1961, sasa wakati wote huo hao mawaziri, sijui makatibu wakuu walikuwa wanakaa wapi?. Hivi kweli hatuna sheria zinazoashiria au kukataza haya mambo ya kila kiongozi kujiamulia amulia kufanya anachotaka kufanya, uugh! sometimes it just makes me sick. Someday something will have to give, tunahitaji a whole system overhaul.