Nyumba za NHC na NSSF zinauzwa bei gani?

nimechafukwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2013
Posts
288
Reaction score
230
Habari wakuu,

Hivi wakuu hizi nyumba wanauzaga shilingi ngapi?...tu assume self ya vyumba vitatu
 
Tembelea ofisi zao, nyumba zipo na kwa bei tofauti kulingana na aina na mahali ilipo. Usiogope tena kama wewe ni mtumishi wa uma - mwajiriwa serikalini utakua na fursa nzuri sana ila ondoa woga. Ingia ofisini, keti fanya nao biashara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…