Nyumba za Prefab Tanzania

Kwa sisi tunaojenga nyumba kwa kudunduliza na kisha kuhamia kabla haijakwisha vizuri, prefab itakuwa haifai kwani bei zake ni za juu.
 
Kuna kampuni Tanzania wanafabricate hizo Prefab buildings
Alaf Aluminium na Humanne Homes
 
Duh,wakuu hizo bei wengine na vinyumba vyetu vya 25m,tunapita tu na kujifariji kwa macho.
Bonge la Mjengo
Ile nime print picha yake nimebandika ukutani ili niwe naonaona kama nimo ndaniyake.
Lazima ujirafiji mwenyewe,alllaaa
 
hizo nyumba za prefab ni gharama mkuu kwa mtanzania wa hali ya kipato cha chini hawezi mudu labda wenzetu ila mm nimezipenda ingawaje mfuko hauruhusu bora nijenge kanyumba kakawaida tu ila nikapambe kaonekane kapo kwenye fashion ya kisasa kulikokujipeleka huko mwisho wa siku inakuwa majanga bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…