House4Rent Nyumba zinapangishwa maeneo ya savei mwenge

Dadio

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2012
Posts
359
Reaction score
42
Rejea kichwa cha habar hapo juu.

Chumba sebule choo chake kipo vizur kina tiles bei yake 200,000 kwa mwezi.
Pia ipo kubwa vyumba viwili choo chake na sehemu ya jiko. Bei yake 300,000/- kwa mwezi. nyumba zote mbili savei ukitokea mliman city ni dk 6.hakuna fance. Magari yanaingia had mlangon kwako. Maji 24/7. hakuna dalali ukiwah unalipa unahamia. 0713401812
 
Me nahitaji chumba na sebule lands izo. Bajeti Yangu no 100,000
 
Hapana za bei hyo sina
 
Nipo mbali na nyumba. Nyumba ni nzur.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…