Mr chapu chapu
Member
- Sep 11, 2020
- 52
- 22
Boss kimfaacho mtu chake anashida ndiyo maana anauza AhsanteKwanini inauzwa?
Boss kimfaacho mtu chake anashida ndiyo maana anauza AhsanteKwanini inauzwa?
Jinga wewe mtu anauza mali yake wewe unauliza kwa nn anauza! Kimfaacho mtu chake.Kwanini inauzwa?
Wewe ni mbulula kweli!Jinga wewe mtu anauza mali yake wewe unauliza kwa nn anauza! Kimfaacho mtu chake.
Ni kweli ni wajibu wako kuuliza ndugu yangu kwa maelezo zaidi piga simu:+255 6 28 00 82 18Wewe ni mbulula kweli!
Lazima ujue sababu kwanini anauza na anaeza jibu kisomi na siyo wewe kiazi.
Ukitaka kununua kitu anachouza mtu, lazima uulize kwanini anauza..kumbuka hilo siku zote.
Kwanini mkuu?Mtu wa kunyolewa kwa chupa anatafutwa hapa.
Nivizuri pia ukampigia ukaipata kwa hiyo bei boss wangu AhsanteKuna dalali fb anaiyuza kwa milioni 17
Ahsante bossMe Ninayo 10
Karibu sanaBasi sawa