House4Sale Nyumba zinauzwa Kibaha

zwenge ndaba

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2016
Posts
2,037
Reaction score
3,598
Nyumba zinauzwa, kibaha kwa Mathias,za kibiashara kwa ajili ya wapangaji na moja inayojitegemea,ziko tatu katika sehemu moja ,ya kwanza vyumba vitatu na sebule zake inajitegemea,ya pili vyumba viwili na sebule zake,ya tatu Ina vyumba 4 kimoja master na jiko na sebule,km 2 toka morogoro road,

Ukubwa wa kiwanja Ni robo eka.bado nafasi kubwa imebaki

Bei milioni 80 kote

0762689034

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…