House4Sale Nyumba zinauzwa Kibaha
Nyumba zinauzwa, kibaha kwa Mathias,za kibiashara kwa ajili ya wapangaji na moja inayojitegemea,ziko tatu katika sehemu moja ,ya kwanza vyumba vitatu na sebule zake inajitegemea,ya pili vyumba viwili na sebule zake,ya tatu Ina vyumba 4 kimoja master na jiko na sebule,km 2 toka morogoro road,
Ukubwa wa kiwanja Ni robo eka.bado nafasi kubwa imebaki
Bei milioni 80 kote
0762689034