kwanini umemetion...wakati mie nililinda heshima yake pale
hehehe...kulificha jina lake hata haisaidii maana kila mtu anajua
mi miaka 4 naanza kukamilisha na sijapata sidhani kama nitapata....we ushawahi kupata?hongera sana...wengine kwao ban ni kawaida sana...
hongera sana...wengine kwao ban ni kawaida sana...
Hiv ban ndo kitu gan wadau?me nilitangulza kichwa kuingia humu na nna miaka miwil sasa,msaada tafadhal
Naona ushakua gold member...hongeraaaaaaaaaPamoko Chocs
Haaaaa hivi hata mimi eeeh
hongera sana...wengine kwao ban ni kawaida sana...
Hiv ban ndo kitu gan wadau?me nilitangulza kichwa kuingia humu na nna miaka miwil sasa,msaada tafadhal
Nitumie buku tano kwenye Eatel mane nakufundisha hatua tatu rahisi za kupata ban.. yaani haitapita nusu saa utakuwa umeipata hiyo ban..