Nilimsikiliza mtaalamu mmoja wa masuala ya uokozi, alisema kwamba, ni vyema ukakaa chumbani na nyundo angalau ya kilo 15 hivi.
Ili moto unapotokea kwa mfano, umeanzia jikoni, basi unaanza kupiga nyundo zako kadhaa chumbani kwenye ukuta karibu na dirisha, ni rahisi ukuta kubomoka, then unatoka nje.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ili moto unapotokea kwa mfano, umeanzia jikoni, basi unaanza kupiga nyundo zako kadhaa chumbani kwenye ukuta karibu na dirisha, ni rahisi ukuta kubomoka, then unatoka nje.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app