MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Habari wana JF,
Nimesoma nyuzi nyingi za kisiasa humu ndani lakini maudhui yake ni ya kinajimu zaidi. Mara utasikia chama hichi kitashinda mara kile kitapata wabunge wachache na kadhalika nakadhalika. Tuwaachie wanajimu kazi yao, tusubiri 28 October.
Jiratibu.
Nimesoma nyuzi nyingi za kisiasa humu ndani lakini maudhui yake ni ya kinajimu zaidi. Mara utasikia chama hichi kitashinda mara kile kitapata wabunge wachache na kadhalika nakadhalika. Tuwaachie wanajimu kazi yao, tusubiri 28 October.
Jiratibu.