Nywele kubadilika rangi na kuwa za Rangi nyekundu au ule weusi wa nywele kufifia

Nywele kubadilika rangi na kuwa za Rangi nyekundu au ule weusi wa nywele kufifia

commm

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2019
Posts
1,709
Reaction score
1,963
Habari wakuu?

Nina changamoto ya nywele zangu kila zinapokuwa na kufikisha urefu wa karibia sentimita 2 hivi huwa zinabadilika rangi na kuanza kuwa nyekundu au pengine ule weusi wa nywele kufifia.

Sasa wakuu ni vipi naweza kuzifanya nywele zangu zikaendelea kuwa na rangi yake nyeusi ya asili ukiachana na kupaka "super black"

Uzi Tayari.

 
Mwanakulipata Alisema hivi

“ kuliko kupaka super black kwenye nywele kwa lengo la kufanya nywele ziwe nyeusi

Ni heri uwe unaziosha kwa sabuni ya Unga alafu ukishamaliza unazipaka mafuta ya nazi (minara)..ukifanya hivi mara kadhaa utaona mabadiliko..”
Asanteee...afanye hivo atuletee mrejesho
 
Habari wakuu?

Nina changamoto ya nywele zangu kila zinapokuwa na kufikisha urefu wa karibia sentimita 2 hivi huwa zinavadilika rangi na kuanza kuwa nyekundu au pengine ule weusi wa nywele kufifia.

Sasa wakuu ni vipi naweza kuzifanya nywele zangu zikaendelea kuwa na rangi yake nyeusi ya asili ukiachana na kupaka "super black"

Uzi Tayari.
Tatizo unaishi kwenye udongo mwekundu
 
Nywele zako ni dhaifu ivyo waone wataalamu watakushaur ni namna gani unaweza kutunza nywele zako na kuzipatia matibabu kuondkana na tatizo ilo
Au nenda youtube Search Swahili naptural utajifunza mengi kuhusu utunzaji wa nywele zako

Sent from my SM-G960F using JamiiForums mobile app
 
Chukulia ni stail tu, mbona kuna wanaopaka rangi nyekundu au ya udongo!
 
Ilikufanya nini
Nilikuwa kibibi kwa siku moja, Ila baada ya kunyoa kipara, zikarudi nyeusiii Hadi raha. Nilikoma, nikasema mimi na hayo madude tena km paka na panya. Maana ata ningesema niendelee kuweka nisizinyoe nywele, bs ningekuwa mtumwa wa super black. Roho iliniuma mn nywele zangu zilikuwa ndefu, nikifikilia uchungu wa kutonea [emoji23][emoji23][emoji23] sina hamu
 
Ni upungufu wa virutubisho, nitakupa hii fomula lakini mabadiliko huwezi kuyapata kwa siku 7 inafaa utumie kwa muda. Tafuta amla oil changanya na black castor oil yawe ndiyo mafuta yako ya nywele.
 
Ni upungufu wa virutubisho, nitakupa hii fomula lakini mabadiliko huwezi kuyapata kwa siku 7 inafaa utumie kwa muda. Tafuta amla oil changanya na black castor oil yawe ndiyo mafuta yako ya nywele.
Amla oil unaweza kunionesha sample?
 
Back
Top Bottom