Nywele ndefu......

Nywele ndefu......

vkeisy2006

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2010
Posts
229
Reaction score
99
image011.jpgimage016.jpgimage009.jpgimage018.jpgimage013.jpgimage010.jpgimage020.jpg
 
hapo Shampoooo kopo zima ( large ) kili kukicha !!! hasaraaa !!
 
huo ni mzigo hauna raha hata kidogo!

..Zina raha sana hizo hata kama siku hiyo umenyimwa chakula cha usiku unashikashika hizo mpaka unasinzia.....we acha tu!!! Jitahidi na wewe usiwe mvivu!
 
Dah! of coz it looks nice. lakini napata taabu kidogo kujiuliza hivi by estimation wanaweza kuwa hawanyoa kwa muda gani?
Mbona Maria roza ni miaka nani hii sasa lkn hazijafikia hivyo. au it is special case happens only kwa weupe?

Sore Mary it just a fun. Chill down.
 
huo ni mzigo hauna raha hata kidogo!

Its true! First Lady,
But just think how unique they are. Hatujazoea kukutana na vitu kama hivi katika maisha ya kawaida ila just imagine ndio patina wako.Wooow!! it is amazing cute. natumaini zinaraha yake even if siyo sana, but i think it should be special.
Sorry ni mtazamo wangu tu mamii usikonde sanaaaaaa!
 
huo ni mzigo hauna raha hata kidogo!
Dada angu na we kwa wivu? Haujambo! Mbona huku kwetu nywele za kipilipili chwee mna lazimisha zifanane na za hao wadada wa kizungu! Hivi itokee umeenda saluni na unywele kama huo siutakuwa unajisikia hadi basi! Punguza wivu dada angu " Shamba linawenyewe....."
 
Unywele ishu bana...hii haina ubishi...Utawasikia.."natafuta HairFood ya nini sijui...".Hawa wote wangependa wawe hivyo, ni uwezo tu unawashinda!
 
duh nakumbuka nilikuwa na rafki yangu mmoja alikuwa na nywele bado nyanda moja tu zifike chini kabisa sakafuni! hakuzikata kwa miaka 10 hivi.

siku ya harusi akazikata akabakisha mpaka kiunoni..............mwanamme alimwambia sitaki lala na mtu ana nywele kama shetani mie! hahah
 
Wow! my Beautiful girlfriend got the same long hair as the 1st pic but her's are more goldish, soft,shine with a sweet pleasant Aroma smell,i always use to smell them when we walk downtown and real enjoy them in the bed....lol... thanks vkeisy2006 for the post.
 
Back
Top Bottom