Nywele za masikioni na puani ni uzee au ugonjwa?

Nywele za masikioni na puani ni uzee au ugonjwa?

Aine

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
1,603
Reaction score
489
Nimeona watu wengi wazee kwa vijana wa rika fulani wakiwa wametoka ywele masikioni na puani yaani ndefu sana kiasi kwamba zinakera hata kwa mtazamaji, sasa swali nywele hizi zinasababiswa na uzee au ni ugonjwa flani, na tiba yake ni nini?
 
Mi huwa naziona kwa wazee tu, vijana sijawahi
 
Kama umeona kwa wazee na vijana na wala sio wewe unaulizia matibabu yake ya nini? Jibu kwanza.
 
kama umeona kwa wazee na vijana na wala sio wewe unaulizia matibabu yake ya nini? Jibu kwanza.
acha hizo, mimi mjomba wangu anazo masikioni, na kuna mtu alikuja ofisini nikaziona masikioni za kutosha, that's why nauliza, kwani kuuliza swali lazima likuhusu wewe mwenyewe!!
 
acha hizo, mimi mjomba wangu anazo masikioni, na kuna mtu alikuja ofisini nikaziona masikioni za kutosha, that's why nauliza, kwani kuuliza swali lazima likuhusu wewe mwenyewe!!

Hujajibu swali bado maana nimekuuliza hivyo kwa sababu kuna mamia kwa mamia wenye hizo nywele za masikioni na kuhusu puani karibu kila mwanaume anazo ila zinatofautiana urefu je wote watakua wanakukera? Kama vipi wakamate uwanyofoe.
 
Hujajibu swali bado maana nimekuuliza hivyo kwa sababu kuna mamia kwa mamia wenye hizo nywele za masikioni na kuhusu puani karibu kila mwanaume anazo ila zinatofautiana urefu je wote watakua wanakukera? Kama vipi wakamate uwanyofoe.

hizo ninazizungumzia ni zinakuwa ndefu sana sio za kawaida, ndio maana nimeuliza, kama huna jibu you better keep quiet maana naona wewe na mimi wote hatuna jibu
 
Kawaida nywele huletwa na homoni zinazozalishwa na mwili. Ndo mana kuna wanawake mwenye ndefu na tunasema wana homoni za kiume. Kwa kawaida mwanaume aliyekamilika anatakiwa awe na ndevu, mavuzi, mustachi/sharubu, love garden, na vinywelea vingine masikioni, miguuni, mikononi, n.k. sasa hizi za puani kila mtu anazo coz zinasaidia kusafisha hewa unayopumua. Kwa hiyo kama wewe ni mwanaume huna hizo nywele tajwa hapo juu, ina mana huna homoni zote za kiume.
 
Nimeona watu wengi wazee kwa vijana wa rika fulani wakiwa wametoka ywele masikioni na puani yaani ndefu sana kiasi kwamba zinakera hata kwa mtazamaji, sasa swali nywele hizi zinasababiswa na uzee au ni ugonjwa flani, na tiba yake ni nini?
tiba ni kujiua tu hazikwepeki au usizaliwe tu ndio njia safi
 
Back
Top Bottom