Nywele zangu ni nyembamba mmno, nawezaje kuziongezea diameter?

Nywele zangu ni nyembamba mmno, nawezaje kuziongezea diameter?

Nichumu Nibebike

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2016
Posts
8,658
Reaction score
15,793
Wembamba wa nywele zangu unazifanya ziwe za kipili pili. Nawaza kama zingeweza kuongezeka unene zikawa 'stout' hili lingesaidia zinyooke na ningeweza kufuga afro....
Sasa nawauliza nifanye nini ili nywele zangu ziweze kuongezeka diameter?
 
Jaribu kupaka dawa ya kuumua makalio ila angalia kichwa kisijekuumuka!
 
Fanyia steaming hata mara tatu kwa mwezi
 
Back
Top Bottom