squirtinator
JF-Expert Member
- Sep 20, 2015
- 2,765
- 4,182
Cheap labour is working hard for little money under very harsh conditions!Mzigo anaopiga ni wa kulipwa hiyo hela!?.. Au kwako cheap labour ni nini!?..
sawaCheap labour is working hard for little money under very harsh conditions!
Chelsea have state of the art facilities!! 110,000£ sio pesa ya ndogo, labda wataka kumlinganisha na kina rooney na Kane wenye nchi. Wachezaji foreigners wengi hawalipwi kama waingereza.
wapi neymar ?Huyu Mdengeleko yupo fit sana aisee..... ninamkubali.....
Alichemka kwa modricIla huyu alipaswa kufanya kazi Tanesco kitengo cha ukataji umeme, mana kwenye soka amekuja kuharibu utaratibu pale kati, yani we njoo na mipango yako yote ila ukimkuja jua mipango imeharibika, yani ni sawa na mtu apange kwenda kuiba sehemu afu akute msiba.
vizuri kama umekubalisawa
[emoji23][emoji23][emoji23]Ngolo kwa kilugha cha kule kwetu ni mbuzi jike![emoji53][emoji53][emoji53]
kwa kweli[emoji23]Kwanini pogba asimpunguzie misifa ili waweze kubalance mambo
Moja ya sifa ya wabongo.Unamdiss mtu ambae ndani ya miaka mi5 ameshinda awards 5 Duniani! Wewe miguu yote ya kushoto hata UMISSETA hujawai gusa acha VPL!
Na atakufa kweli kwa wivu wake wa vitu asivyoweza hata kuviota sio tu kuvipata.Frustration hazijawahi kumuacha mtu salama.Punguza hasira mkuu! Usiwe na frasteshen zitakuua.
We unalipwa shiling ngapiMzigo anaopiga ni wa kulipwa hiyo hela!?.. Au kwako cheap labour ni nini!?..
Alafu modric akachukua W.C ...Alichemka kwa modric
aaahhhh modric yule mzee mkavu..!!Alichemka kwa modric
Unajua Sanchez na Pogba wanalipwa ngapi? Zlatan Je alikuwa analipwa ngapi?Cheap labour is working hard for little money under very harsh conditions!
Chelsea have state of the art facilities!! 110,000£ sio pesa ya ndogo, labda wataka kumlinganisha na kina rooney na Kane wenye nchi. Wachezaji foreigners wengi hawalipwi kama waingereza.