O.m.g...........!!! Huyu ndio kawa hivi????

HUYU jamaa na mie nilimwona live kweli sikuamini. Kawa Potable hata totoz sasa atazinasa kiulainiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
hamna afro ...tatizo we sijui kwa nn presha ilikupanda baada ya kumuona ..tuambizane mapema dear

sababu najua hizo ndo za BOngo
mtu aki loose weight kwa afya anaambiwa ana mdudu..

mtu akinenepa sana ana magonjwa ya moyo ...
mie ndo maana nachokaga..
 
sababu najua hizo ndo za BOngo
mtu aki loose weight kwa afya anaambiwa ana mdudu..

mtu akinenepa sana ana magonjwa ya moyo ...
mie ndo maana nachokaga..

hahah afroo
 
Last edited by a moderator:
sababu najua hizo ndo za BOngo
mtu aki loose weight kwa afya anaambiwa ana mdudu..

mtu akinenepa sana ana magonjwa ya moyo ...
mie ndo maana nachokaga..

wallah usjali mm nipo tayari tufe wote na hakuna haja ay kupima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…