O.m.g...........!!! Huyu ndio kawa hivi????

mmmhh asante kwa wimbo ..

nway kufa hatufi starehe tutazipata hahahha lol

mmmm this sound good!!!! uila ukimuona mwingine ana hali ya kutatanisha usishtuke kivile hadi watu wakajua kuwa ilikuwa namna gani vipi, unakausha kiainathen badae kimyakimya unafuatilia hali yake:car:
 
mmmm this sound good!!!! uila ukimuona mwingine ana hali ya kutatanisha usishtuke kivile hadi watu wakajua kuwa ilikuwa namna gani vipi, unakausha kiainathen badae kimyakimya unafuatilia hali yake:car:

Hahahahaha lol haya ngoja niwaachie weye na bi Nilhan chumba kidogo. ..lol
 
aa mwenzangu simtaki used nataka bikra na mie.... ha ha hhhaa lol.... rudi bibi huyu mi simtaki chumba kina nafasi bado wala usimkimbie... :love::love:
Hahahahaha lol haya ngoja niwaachie weye na bi Nilhan chumba kidogo. ..lol
 
Kajitahidi kupunguza unene ingawa hakuna anayejua madhara yake maana hana minyama uzembe kama ilivyokuwa mwanzo
 
aa mwenzangu simtaki used nataka bikra na mie.... ha ha hhhaa lol.... rudi bibi huyu mi simtaki chumba kina nafasi bado wala usimkimbie... :love::love:

bikra ipi unayoitaka? kwamba mambo flan ya kujiexpress hajayajua bado au? kama ndo ivo mi bkira bibie atii
 
mmmmh kama ndio kakonda kiasi kile NO.... hapa pana utata! tena sio utata ni TATA
mix with yours

mimi ndio maana nilishangaa sana manake afrodenz alishtuka sana nikajua kuna kirtu tu hapaaa
 
Inasemekana India walinyonya yote kwa Mashine
 
Mustafa Hassanali. alifanyiwa surgery kuondoa minyama India
 
sababu najua hizo ndo za BOngo
mtu aki loose weight kwa afya anaambiwa ana mdudu..

mtu akinenepa sana ana magonjwa ya moyo ...
mie ndo maana nachokaga..
Akinenepa kaanza dose!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…