Oa kulingana na mahitaji yako

Ashura9

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2012
Posts
740
Reaction score
485
Nimeipenda hii habar njema
Ukitaka majungu OA MHAYA.
Ukitaka Mapenzi ya ujanja ujanja OA MCHAGA.
Ukitaka Uchawi OA MFIPA.
Ukitaka maneno OA MZENJI.
Ukitaka mapishi OA MTANGA.
Ukitaka Uume wenza OA MZARAMO.
Ukiwa na shamba OA MSUKUMA.
Ukitaka mapenzi ya kuona aibu oa MHEHE,
Ukitaka kubana matumizi OA MPARE.
Ukitaka Kisukari OA MWARABU mara tende mara halua!!!
Ukitaka kuji-mix, oa MKEREWE au MJITA,
Na kama unataka kuwachanganya m2 na dadake, OA MKWERE/MRANGI..... na kuendelea
 
Aiseee kumbe ndo hivyo simuoi tena
 
Hahahahahaha mkuu hujawatendea hak warang unapiga mkubwa na mdogo kwapamoja
 
Hapo kwa Wafipa kama umepatia vile. Huwa hawaamini kama kuna mapenzi bila dawa.
Kuna sifa nzuri imeainishwa hapo, ila wakuolewa haonekani
 
Hapo kwa Mkerewe/Mjita sijakupata vizuri.Kuji-mix unamaanisha nini,watakufanyia nini ?
 
Ukitaka kujimix owa mkerewe au mjita heheheeee!!! Hiyo nimeipenda maana nimeshuhudia live
 
Ngoja nimalizie usingizi kwanza nitarudi baada ya kazi jioni
 
ha ha haaaa!, mi nataka kula vitamu tu. Wengine wanasema "nataka paja mie!". Mtanga upo wapi mbona husogei?, kwangu kuna fursa zako kibao tuu!. ha ha haaaa! kweli penye miti hapana wajenzi. Wakati wengine wanataka wake wenye kazi, mara awe anakazi ya kuingiza kipato, mara mrefu mara mweusi. mm nataka anayepika vizuri tu! MTANGA SOGEA BWANA AAAAHH!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…