#COVID19 Obama akutwa na Covid-19

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610


Aliyewahi kuwa rais wa Marekani Barack Obama amekutwa na maambukizi ya corona baada ya kufanyiwa vipimo.

Obama ametangaza kuwa na maambukizi hayo kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii.

"Nimekutwa na covid. Nimekuwa nikiwashwa kwenye koo kwa siku mbili, lakini ninajisikia vizuri" alisema kwenye akaunti yake rasmi ya Twitter.

Obama pia alieleza kuwa yeye na Mkewe Michelle Obama wameshapata chanjo na Mkewe amepimwa hana maambukizi.

Pia amekumbusha wale ambao hawajapata chanjo kuhakikisha wanachanja licha ya kuwa visa vya maambulkizi vinapungua
===

Former President Barack Obama said on Sunday that he had tested positive for the coronavirus, though he's feeling relatively healthy and his wife, Michelle Obama, tested negative.

"I've had a scratchy throat for a couple days, but am feeling fine otherwise," Obama said on Twitter. "Michelle and I are grateful to be vaccinated and boosted."

Obama encouraged more Americans to get vaccinated against the coronavirus, despite the declining infection rate in the U.S. There were roughly 35,000 infections on average over the past week, down sharply from mid-January when that average was closer to 800,000.

The U.S. Centers for Disease Control and Prevention report that 75.2% of U.S. adults are fully vaccinated and 47.7% of the fully vaccinated have received a booster shot. The CDC relaxed its guidelines for indoor masking in late February, taking a more holistic approach that meant the vast majority of Americans live in areas without the recommendation for indoor masking in public.

Source: VOA
 
Propaganda za kipuuzi
 

Huyo hakuwa raisi bali ni gaidi alietuulia gadafi wetu.
 
Huyo hakuwa raisi bali ni gaidi alietuulia gadafi wetu.

Watu walikua wanafurai rais anaasili ya Africa sijui nini ila aliyoyafanya shetan mwenyew anaogopa
 
Watu walikua wanafurai rais anaasili ya Africa sijui nini ila aliyoyafanya shetan mwenyew anaogopa
Rais Mmarekani afanye jambo kukufurahisha weye mkulima wa Chabutwa Tabora?Acha utani.America for Americans,first!
 
Kwahiyo alichokifanya huyo kafiri wa kijaluo cjui mkikuyu ni sawa kwa mwafrika mwenzetu?
America for Americans.Wale wana sera na miongozo yao.Hata weye "Mgunya" uende kuwa rais wao utafuata watakacho.Mapenzi unaacha chumbani kwako.
 
Acha kutetea waovu na wauwaji.

Huyo kafiri wakati anagombea kiti cha urais hakujuwa yote hayo atakutananayo!!!
Nimtetee vipi?Kwa hiyo ulitegemea akiwa rais USA akutatulie vyuma vyako vilivyokabana?Umekwama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…