Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Hivi Rais Obama anaweza akaamka na kuamua siku moja kuunda Tume ya Kupitia Katiba Mpya na kuwaahidi wananchi wa Marekani ambao baadhi yao wanaona Katiba inahitaji mabadiliko Katiba Mpya kwa ajili ya miaka mingi ijayo. Nini kitatokea endapo atafanya hivyo?