Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Hivi Rais Obama anaweza akaamka na kuamua siku moja kuunda Tume ya Kupitia Katiba Mpya na kuwaahidi wananchi wa Marekani ambao baadhi yao wanaona Katiba inahitaji mabadiliko Katiba Mpya kwa ajili ya miaka mingi ijayo. Nini kitatokea endapo atafanya hivyo?
Kikwete decision very undemocratic,why he is trying is to steal our game
Hivi mimi nashangaa, kila atalofanya JMK ni baya. "Damned if you do damned if you don't", kwa nini? Au ndio...?
Hivi Rais Obama anaweza akaamka na kuamua siku moja kuunda Tume ya Kupitia Katiba Mpya na kuwaahidi wananchi wa Marekani ambao baadhi yao wanaona Katiba inahitaji mabadiliko Katiba Mpya kwa ajili ya miaka mingi ijayo. Nini kitatokea endapo atafanya hivyo?
Kikwete decision very undemocratic,why he is trying is to steal our game
Nadhani MMM anauliza juu ya Obama na si JK.Tehe teheee...