Rais wa Marekani Barack Obama anatarajiwa kuzuru Afrika kuanzia tar.23 Aprili Ikulu ya Marekani imeeleza.Ziara yake itaanzia nchini Kenya ambako alizaliwa baba yake Hussein Obama na mahali inaposadikika alianzia kampeni yake ya Urais,Ziara hiyo itakayomchukua katiika nchi tano za Kiafrika anatarajiwa kutembelea UgandaRwanda,Swazland na Afrika Ya Kusini.Ratiba kamili itatolewa na Wizara ya Nje ya Marekani na kupatikana katika balozi zake kote duniani.
Rais wa Marekani Barack Obama anatarajiwa kuzuru Afrika kuanzia tar.23 Aprili Ikulu ya Marekani imeeleza.Ziara yake itaanzia nchini Kenya ambako alizaliwa baba yake Hussein Obama na mahali inaposadikika alianzia kampeni yake ya Urais,Ziara hiyo itakayomchukua katiika nchi tano za Kiafrika anatarajiwa kutembelea UgandaRwanda,Swazland na Afrika Ya Kusini.Ratiba kamili itatolewa na Wizara ya Nje ya Marekani na kupatikana katika balozi zake kote duniani.
Rais wa Marekani Barack Obama anatarajiwa kuzuru Afrika kuanzia tar.23 Aprili Ikulu ya Marekani imeeleza.Ziara yake itaanzia nchini Kenya ambako alizaliwa baba yake Hussein Obama na mahali inaposadikika alianzia kampeni yake ya Urais,Ziara hiyo itakayomchukua katiika nchi tano za Kiafrika anatarajiwa kutembelea UgandaRwanda,Swazland na Afrika Ya Kusini.Ratiba kamili itatolewa na Wizara ya Nje ya Marekani na kupatikana katika balozi zake kote duniani.
Ndugu yangu, kama hujui......fools day inatakiwa ifuate masherti kama yafuatayo;
1. Siku hii huanza saa sita usiku hadi saa nne asubuhi (lasting for approximately 10 hours)
2. Ukitoa habari au issue yoyote inayohusu hii siku lazima mwishoni au sehemu yoyote uonyeshe au utafute means fulani ya kuwatahadharisha wale wanaopokea ujumbe or taarifa hiyo kuwa inaendana na FOOLS DAY ili kuepusha madhara yatokanayo na watu kufanyia kazi habari au ujumbe huo!
Sasa habari hii, kwanza imetundikwa hapa saa kumi na dakika ishirini na tisa, pia hakuna caution yoyote kuwa leo ni siku ya fools.....!
So imekosa sifa za kuendana na siku ya wajinga, hivyo mleta mada ni mwongo au mzushi labda atoe uthibitisho kuwa habari hii ni ya kweli!
Rais wa Marekani Barack Obama anatarajiwa kuzuru Afrika kuanzia tar.23 Aprili Ikulu ya Marekani imeeleza.Ziara yake itaanzia nchini Kenya ambako alizaliwa baba yake Hussein Obama na mahali inaposadikika alianzia kampeni yake ya Urais,Ziara hiyo itakayomchukua katiika nchi tano za Kiafrika anatarajiwa kutembelea UgandaRwanda,Swazland na Afrika Ya Kusini.Ratiba kamili itatolewa na Wizara ya Nje ya Marekani na kupatikana katika balozi zake kote duniani.