Hahaha ningekushangaa saaana kama usingeleta hizi pictures mbili, sababu ndio hizo tu zipo kuonesha Obama ni Mkenya, tuletee picture akivua omena ndio tutajua kweli hili jaluo
Kweli watu wanatoka mbali, by that time no body expected he could be president of the most powerful nation on earth...Mtanzania amejua Obama juzi anataka kutufunza kumhusu.[emoji23][emoji23][emoji23]. Kweli Tz imejaa Bongolala. Obama is the son of sir Obama and his native home is K'ogalo Siaya County Kenya. He's been with us even before anybody knew who he was.[emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484]View attachment 1233220View attachment 1233221View attachment 1233223
Hakuna jipya.Nice one. Watanzania angalieni tu kwa dirisha kama kawaida yenu.
Acheni kumshobokea mmarekani wa watu, ancestry yake inaonesha yupo na kina Bush, Dracula, Diana, Monroe, Lincoln.... 😂Tuletee zako ukila albino ndio tuamini km wewe ni mtanzania
Bro,, Wakenya sio wanyonge au watembeza bakuli au omba omba jinsi ilivyo desturi ya wabongoduni.
Wakenya ni watu wakakamavu, watia bidii, waerevu, wajanja, washujaa, wapambanaji.... n.k
fikiria kwanza kabla ya kutoa kauli zako potoshi
😂😂 Aisee hapa keshavuta gundi ya mukuchu yoooteHata hawa Mazombi ni Wakakamavu?
alishiriki lakini sio muasisi sijui unataka kusema nini So alishiriki bila cause yeyote the Libyan civil war broke out in 2011, the United States took part in a military intervention in the conflict, aiding anti-Gaddafi rebels with air strikes against the Libyan Army . With the success of the revolution and the overthrow of Gaddafi, US President Barack Obama said that the United States was "committed to the Libyan people" and promised partnership in the development of a new Libyan state. Africa haitakuja kujivunia wauwaji kama hawaAlishiriki tu lakini sio muasisi, Libya iliangushwa na France chini ya uongozi wa Nicolas sarkozy. Libya ilikua na mpango wa kuleta pesa ya dhahabu ambayo ingetumika na 14 francophone countries na kuitoa hela Yao chini ya uongozi wa France tukio ambalo lingefanya France ifilisike na kua masikini .ili France ibaki kwenye orodha ya mataifa yenye nguvu na tajiri duniani ilikua waje na mbinu ya arabu spring ili waweze kumuondoa Gaddafi.
Tulimjua kabla dunia mzima imjue. Obama is a blessing to Kenya & the world kwasababu alilipisha mauaji ya Náirobi 1998. Over 200 Kenyans died in the hands of these Islamic States na hatuwezi Sahau. You must be a FOOL trying to side with Islamic states that have caused hell to Africans allover the world. [emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484]Anakotoka Obama dunia nzima inajua, acha kukurupuka bila hoja ya msingi, hana tofauti na wale colonial puppets, siku akifa hivi ndivyo waafrica watamuenzi, uwe unasoma unaelewa. Wazazi wako waliuza n'gombe kupeleka binadamu shule na sio n'gombe nyenzie
Wewe uko na akili kweli [emoji23][emoji23][emoji23]. Nani alikudanganya Kila mahali Nyanza Kuna bahari. K'ogalo is like 30kms from the lake, huko watu hufanya ukulima.Hahaha ningekushangaa saaana kama usingeleta hizi pictures mbili, sababu ndio hizo tu zipo kuonesha Obama ni Mkenya, tuletee picture akivua omena ndio tutajua kweli hili jaluo
Hapo walikua wanafungua Shule alijenga kwao bado akiwa senator.Kweli watu wanatoka mbali, by that time no body expected he could be president of the most powerful nation on earth...
Anyway I'm curious to know hiyo picha ya tatu walimpandisha kwenye jukwaa kufanya nini na kama nani?
Duh! Unajua awali nilicomment bila kufungua video, ila nimekujafungua saivi, this is horrible, Kenya sijui nani aliilogaHata hawa Mazombi ni Wakakamavu?
Duh! Unajua awali nilicomment bila kufungua video, ila nimekujafungua saivi, this is horrible, Kenya sijui nani aliiloga
Sijasema tujivunie Obama wala walichokitenda , kumuondoa Gaddafi haikukua the best option .ninachojaribu kusema ni kuwa Obama hakuongoza oparesheni ya Arab Spring oparesheni hio iliongozwa na Nicolas sarkozy wa France America ilishiriki Tu kupitia NATO.alishiriki lakini sio muasisi sijui unataka kusema nini So alishiriki bila cause yeyote the Libyan civil war broke out in 2011, the United States took part in a military intervention in the conflict, aiding anti-Gaddafi rebels with air strikes against the Libyan Army . With the success of the revolution and the overthrow of Gaddafi, US President Barack Obama said that the United States was "committed to the Libyan people" and promised partnership in the development of a new Libyan state. Africa haitakuja kujivunia wauwaji kama hawa
Duh asee noma hii naicheki hapa 😬😬😬Duh! Unajua awali nilicomment bila kufungua video, ila nimekujafungua saivi, this is horrible, Kenya sijui nani aliiloga