Mjuba og
New Member
- Apr 27, 2024
- 3
- 3
Katika Hali isiyokuwa ya kawaida, Kamanda wa Polisi wa Wilaya ya Dodoma Mjini na Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya Jumapili tarehe 1 September 2024 walimbatana na wananchi waliovamia Kanisa la AGGCI Kizota kinyume cha Sheria wakati Ibada ikiendelea na kufunga Kanisa Hilo ambalo kwa sasa lipo chini ya mjane ambaye ni Mke wa muasisi wa Kanisa Hilo Marehemu Mchungaji Samson Chipanjilo.
Alipoulizwa na waumini wa AGGCI kutoa barua au maandishi yanayoeleza sababu za kulifunga Kanisa Hilo OCCID alikataa kutoa maelezo yoyote na badale yake alimuagiza mwananchi mmoja kuweka kufuli kwenye kanisa la mjane huyo.
Baada ya kufunga Kanisa Hilo, inadaiwa kuwa OCCID aliambatana na wananchi hao na kwenda nao eneo la Chinangali Park na kujipongeza kwa vinywaji kwa kukamilisha jambo hilo, aidha taarifa za ndani zinadai kuwa Kuna kigogo mmoja ambaye anamtumia OCCID na OCD na amewapa Hela Ili wamsaidie kigogo huyo kumpora mjane huyo Hilo eneo kinyume na sheria.
Alipoulizwa na waumini wa AGGCI kutoa barua au maandishi yanayoeleza sababu za kulifunga Kanisa Hilo OCCID alikataa kutoa maelezo yoyote na badale yake alimuagiza mwananchi mmoja kuweka kufuli kwenye kanisa la mjane huyo.
Baada ya kufunga Kanisa Hilo, inadaiwa kuwa OCCID aliambatana na wananchi hao na kwenda nao eneo la Chinangali Park na kujipongeza kwa vinywaji kwa kukamilisha jambo hilo, aidha taarifa za ndani zinadai kuwa Kuna kigogo mmoja ambaye anamtumia OCCID na OCD na amewapa Hela Ili wamsaidie kigogo huyo kumpora mjane huyo Hilo eneo kinyume na sheria.