OCD Wilaya ya BUSEGA amekula Rushwa na kukataa kupeleka kesi ya mwanafunzi wa kidato cha pili Mkula Sekondari Mahakamani Mheshimiwa Sirro muwajibishe

OCD Wilaya ya BUSEGA amekula Rushwa na kukataa kupeleka kesi ya mwanafunzi wa kidato cha pili Mkula Sekondari Mahakamani Mheshimiwa Sirro muwajibishe

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
OCD wa wilaya ya Busega kwa muda sasa ameikalia kesi ya ubakaji ya mwanafunzi wa Mkula Sekondari iliyoko BUSEGA MKOANI SIMIYU inadaiwa kwamba Mwanafunzi huyo ameachishwa shule mpaka ss lakini cha kushangaza kesi ya mwanafunzi haijafika mahakamani kwa ajili ya kusikilizwa hii inatokana na kwamba OCD amekula Rushwa
 
Mkuu kweli ipo kazi
FB_IMG_1547981683352.jpeg
 
Kesi za watoto washule kwam baadhi ya ma ocd na occid niulaji bora huyo haijapetekwa kunazingine zimeperekwa harafu zikafutwa kwakutopereka ushahidi polisi nawakati wanao
 
Nadhai SIRO aliangarie jeshi kwaujumla wake asitumie ujambazi kujimwambafai , nikweliwamezibiti , na ndokazi yao, ila makandokando police bado mengi sana
 
OCD wa wilaya ya Busega kwa muda sasa ameikalia kesi ya ubakaji ya mwanafunzi wa Mkula Sekondari iliyoko BUSEGA MKOANI SIMIYU inadaiwa kwamba Mwanafunzi huyo ameachishwa shule mpaka ss lakini cha kushangaza kesi ya mwanafunzi haijafika mahakamani kwa ajili ya kusikilizwa hii inatokana na kwamba OCD amekula Rushwa
Mkuu umekosea
 
Wewe muuaji mkuu wa familia za watu,binafsi kwa sasa Niko busega huyo OCD unayemsema unamsingizia acha chuki,kushughulikia maswala ya mimba kwa wanafunzi ni swala pana sana halihitaji kukurupuka kama wewe ulivyofanya
OCD wa wilaya ya Busega kwa muda sasa ameikalia kesi ya ubakaji ya mwanafunzi wa Mkula Sekondari iliyoko BUSEGA MKOANI SIMIYU inadaiwa kwamba Mwanafunzi huyo ameachishwa shule mpaka ss lakini cha kushangaza kesi ya mwanafunzi haijafika mahakamani kwa ajili ya kusikilizwa hii inatokana na kwamba OCD amekula Rushwa
 
Mnabobea kwenye unajisi wa mshikamano na Upendo alafu baadae ndege ikishikwa mnayoiita ya CCM mnashangaa hao mnaowabagua sasa hivi kuwa upande wa mdai wenu. Kukiwa hakuna tatizo mnawabagua Kaka na dada zenu Ila kukiwa na tatizo upande wenu mnashangaa dada na Kaka zenu kujitenga nanyi! Shida Sana
Haya majungu yapeleke chadema ,serkali ya CCM hupokea taatifa kutoka kwenye vyanzo vinavyotambuliwa


State agent
 
Back
Top Bottom