Odama huvumi lakini umo

Ndio ushangaeee kaja hapa sijuii yeyeee sijui shogaa ake eti anatuambia sie wazeeee tumekosa wa kutuoaaa heloo mi hata kukaribia 28 sijakaribiaaaa lol jaman hala QUN @of Sheba wapiiiiii???

Hahahaaaaa...kweli amekosa point za kujidefend... kwa taarifa yake hamna ambaye yupo desperate kuolewa hapa na kuna ambao wameolewa...
 
Last edited by a moderator:
Ndio ushangaeee kaja hapa sijuii yeyeee sijui shogaa ake eti anatuambia sie wazeeee tumekosa wa kutuoaaa heloo mi hata kukaribia 28 sijakaribiaaaa lol jaman hala QUN @of Sheba wapiiiiii???

Hivi huyo anadhani kuolewa ndio tija, ashie zake huko, inavyoonekana alivyokuwa mdogo kuna kitu alimiss huyo, siyo siri
 
Last edited by a moderator:
Utakuta mmewe ana kibamiaa halaf hajatahiriwaa si unawajua wale weupe wengi hawakatwii sasa anamiss mipingo myeusii

Haaswaaa lazima kinahusika...si alitoaga siri mwenyewe...atajiju!
 
Thubutuuu anaubavu huo wa kumva Zeze wakati zeze anauwezo wa kumuajiri kuwa uhausigal wake.

Hahahaaaaa..lol.....atajuta kulianzisha maana ilikua ni taarifa baada ya habari sasa imekuwa habari kamili.
 
Masikini akipata ma......ko hulia mbwatambwata hata ajishtukii watoto wakishua wako wengi mjini akina Vanessa wamekulia huko ila yuko kimya busy kutafuta pesa yeye busy kulazimisha umaarufu wa kujiongezea maadui.
 
Nawewe kama huoni cha kuchangia utuache bibie hutununulii bundle tunajadili tunachojisikia.

Huuuuuuuuwiiiiiiiiiiiiiiiiii shangaaa Qn mi bundle nimeweka mwenyewe sijawekeaaa Jk anatukanwaaa sembuse huyuuuu anaeishi uswazi huko mamtonii
 
Jasiri haachi asili inaonekana hata mie naweza afford nalipa kwa $ ya zimbwabwe akuje fasta kabla cjaghairi

Hahhhhhahhha atakuja subiri atoke jelaa ngoja nimwite lusungo aje atakua kaenda kumsalimiaaa
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…