Ukikohoaaa kanarukaa hukoooo hahhhhhahhhhhahhhha
Hahahaaaaa...kweli amekosa point za kujidefend... kwa taarifa yake hamna ambaye yupo desperate kuolewa hapa na kuna ambao wameolewa...
Usijali mpenzi wangu nitakupitia
Wacha weeee vitu moto moto haswaaaaa mpaka unahisi kuunguaaaa na hatubandukiiiiii
Hahaha waiter mpe chupa ya jackdaniel bili lete kwangu kumbe sisi wa kibongo tuna thamani hivi, natoa posa kwa cheque lete gharama
Hahahahaaaaaaa
Hahhhhhajhhhhahhha Jack Daniel iliyomuua Kanumbaaa una vitukoo
Mwaga dataaa unaenda wapiiiiii
Nasikia umetoka kumsalimiaaa umempelekea na Jack Daniel kumbe magereza yetu yanaruhusu vilevii? ??
Nani tena jirani?
Kwani ilikuwaje bina mbona sielewi nakuta mtu kaenda jela?
Hahaha wewe inaonekana unapenda zanzi au safari
Situmii kileviiiii miee
Ntakupa ofa ya maziwa ya ngamia
I miss you
Hahaha wewe inaonekana unapenda zanzi au safari