Binamu huyo dada hunipa presha nishaacha kuingiaa kwenye blog yakee aisee mara ajifunguee kwenye hospital za kina Beyonce mayoweeeeeeee mi hata kwa Dr. Kilonzo nishashindwaaa
aaaah aah nasikia kumbe alikuwa anaandika jina tu hakuna cha hyo hospital wala nini
Picha zip binamu yangu
Kuna mtu pia alisema kama wewe, jumatano ijayo ntakua huru will b back with the old ID, usihof partner
Naonag picha zake instagram kutwa yupo uko Beverly
Binamu huyo dada hunipa presha nishaacha kuingiaa kwenye blog yakee aisee mara ajifunguee kwenye hospital za kina Beyonce mayoweeeeeeee mi hata kwa Dr. Kilonzo nishashindwaaa
Za Mange akiwa kwa hospital? Sidhani kama alienda akaandika jina halafu akatoka
Binamu Leo nilikuwa naangalia album ya harus ya uwoya apa , dah haruc c mchezo kitu ngamia ndani dah ila mwisho wake sasa duh
HOE miye ukimpata naomba niwe nabeba pochi yako tu
alijifungua pale we ma pic ote yale uwee umepiga tu picha sidhani
Asante ripota 2nashukuru endelea ku2pasha habar
Hujanielewa binamu, maana yangu ni kwamba mange alidanganya kuwa amejifungulia kwenye hospital ambayo mastar kama akina Kim kardashian hujifungulia na jina akalitaj sema nimesahau kumbe sio hyo hospital aliyoisema yeye. Yaani Ali cheat kuandika jina la hospital ambayo siyo aliyojifungulia , hospital aliyojifungulia nasikia ni gvt na ndio anapopigia picha toka mimba had uzao. Yaan mfano wewe ujipige picha ukiwa hospital ya kairuki then udanganye upo aghakan, umenisomaa?
We mtoto umemaliza kupika ujue leo ni zamu yako jikoni