Wakuu aliyekuwa mgombea wa nafasi ya mwenyekiti CHADEMA Taifa, Odero Odero alipofanya mahojiano na Edwin Odemba amegusia suala la wale wa kila jambo tunamshukuru mama, tunamshukuru Rais, yani hotuba anaijaza shukrani lukuki kuliko hoja za msingi.
====
“Leo hii Mbunge akisimama kuzungumuza Bungeni jambo la kwanza ni kumshukuru Rais kwa kuleta Fedha, Fedha za umma zimegeuka Mali za Rais, na wabunge wanaongea hivyo wale ambao hawakupigiwa kura na wanachi walipitishwa kwa kura feki” ODERO C ODERO
Wakuu Odero amegusia suala la wale wa kila jambo tunamshukuru mama, tunamshukuru Rais, yani hotuba anaijaza shukrani lukuki kuliko hoja za msingi
====
“Leo hii Mbunge akisimama kuzungumuza Bungeni jambo la kwanza ni kumshukuru Rais kwa kuleta Fedha, Fedha za umma zimegeuka Mali za Rais, na wabunge wanaongea hivyo wale ambao hawakupigiwa kura na wanachi walipitishwa kwa kura feki” ODERO C ODERO