Pre GE2025 Odero Odero: Nilishawahi kuishauri CHADEMA tupeleke wanawake 500 ambao wameacha matiti yao nje, nyumbani kwa Spika

Pre GE2025 Odero Odero: Nilishawahi kuishauri CHADEMA tupeleke wanawake 500 ambao wameacha matiti yao nje, nyumbani kwa Spika

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Akiulizwa na Odemba kwanini CHADEMA kwa sasa ikiitisha maandamano watu hawaendi, Odero amesema kuwa kinachofanyika CHADEMA kwa sasa sio maandamano ni matembezi ya amani.

Akaongeza kwa kusema kuwa alishawahi kushauri CHADEMA kupeleka wanawake mia tano wakiwa vifua wazi mbele ya nyumba ya Spika wa Bunge kama form ya maandamano

"Wakati ule bunge linaendelea Dodoma nilisema tupeleke wanawake 500 asubuhi na mapema kwenye makazi ya Spika wa Bunge la Tanzania asubuhi na mapema anafungua tu mlango anakuta wanwake ambao kwa hasira yao wamevaa wameacha maziwa yao nje"

 
Wakuu,

Akiulizwa na Odemba kwanini CHADEMA kwa sasa ikiitisha maandamano watu hawaendi, Odero amesema kuwa kinachofanyika CHADEMA kwa sasa sio maandamano ni matembezi ya amani.

Akaongeza kwa kusema kuwa alishawahi kushauri CHADEMA kupeleka wanawake mia tano wakiwa vifua wazi mbele ya nyumba ya Spika wa Bunge kama form ya maandamano

"Wakati ule bunge linaendelea Dodoma nilisema tupeleke wanawake 500 asubuhi na mapema kwenye makazi ya Spika wa Bunge la Tanzania asubuhi na mapema anafungua tu mlango anakuta wanwake ambao kwa hasira yao wamevaa wameacha maziwa yao nje"

Like seriously!?🤣🤣🤣
 
Wakuu,

Akiulizwa na Odemba kwanini CHADEMA kwa sasa ikiitisha maandamano watu hawaendi, Odero amesema kuwa kinachofanyika CHADEMA kwa sasa sio maandamano ni matembezi ya amani.

Akaongeza kwa kusema kuwa alishawahi kushauri CHADEMA kupeleka wanawake mia tano wakiwa vifua wazi mbele ya nyumba ya Spika wa Bunge kama form ya maandamano

"Wakati ule bunge linaendelea Dodoma nilisema tupeleke wanawake 500 asubuhi na mapema kwenye makazi ya Spika wa Bunge la Tanzania asubuhi na mapema anafungua tu mlango anakuta wanwake ambao kwa hasira yao wamevaa wameacha maziwa yao nje"

so what? aogpe matiti? si ataleta polisi wawatatwange viboko! Eti na huyo anagombea nafasi ya M/Kiti!
 
Wakuu,

Akiulizwa na Odemba kwanini CHADEMA kwa sasa ikiitisha maandamano watu hawaendi, Odero amesema kuwa kinachofanyika CHADEMA kwa sasa sio maandamano ni matembezi ya amani.

Akaongeza kwa kusema kuwa alishawahi kushauri CHADEMA kupeleka wanawake mia tano wakiwa vifua wazi mbele ya nyumba ya Spika wa Bunge kama form ya maandamano

"Wakati ule bunge linaendelea Dodoma nilisema tupeleke wanawake 500 asubuhi na mapema kwenye makazi ya Spika wa Bunge la Tanzania asubuhi na mapema anafungua tu mlango anakuta wanwake ambao kwa hasira yao wamevaa wameacha maziwa yao nje"

...na wanaume waache mat@ko yao wazi😀
 
Hiyo ni manipulation iliyojaa udharirishaji Odero, basi angarau kubalance ungeshauri wanaume 500 wafia chama waliovaa suti na tie bila suruari, wakusanyike mbele ya bunge la JMT huku kende zao na mjegeje vikining' inia hadharani...
Ujumbe ungefika!! 😢
 
Naye huyo kiongozi Chadrama?

Nimecheka sanaaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣

Chama cha kuchekesha na kujijaza matumbo wao sio kuongoza nchi
 
Kwa matiti gani ya vigori ama haya haya tuyajuayo huo mpango ulikuwa mahususi kudhalilisha mama zetu na bibi zetu. Titi linyonywe na watoto 12 unaliwekaje hadharani jamani si tutakimbiana
 
Back
Top Bottom