Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Anaweza kuwa mwanakijani mbadili matokeo huyo🏃Wewe ndio Chebukati! Tayari umetangaza matokeo!
Huyo Mzee atulizwe alijichanganya Mtumbwi wa Vibwengo na handshake fekiWewe ndio Chebukati! Tayari umetangaza matokeo!
Nasikia kuna agent wa Raila kapotelea kwenye choo za humo BomasBomas of Kenya palindwe vizuri
Hivi huko kenya unaweza kujua chama tawala ni kipi na upinzani ni upi?Siasa za afrika zilivyo,
Chama tawala kutoka madarakani Ni sawa na ngamia kupita tundu la sindano[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Chama tawala ni Jubilee mbona kimeangushwa vibayaSiasa za afrika zilivyo,
Chama tawala kutoka madarakani Ni sawa na ngamia kupita tundu la sindano[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Jambo la Kwanza lazima vurugu itatokea iwe ni nani ataapishwa tena Kenya internet haiwezi zimwaHuyu mwamba Hana cha kupoteza, asipodhibitiwa tutaanza kutafuta wasuluhishi wa kimataifa kusuluhisha Mgogoro. Awekwe chini ya ulinzi mkali akubali kushindwa na kumpongeza Mheshimiwa Dr. Ruto (PhD) kisha aachiwe baada ya Rais mpya kuapishwa.
Pia, Wasisahau kuzima internet mwezi mzima
Mtumbwi wa vibwengo tena?🤣Huyo Mzee atulizwe alijichanganya Mtumbwi wa Vibwengo na handshake feki
Maskini watanzania ni misukuleHuyu mwamba Hana cha kupoteza, asipodhibitiwa tutaanza kutafuta wasuluhishi wa kimataifa kusuluhisha Mgogoro. Awekwe chini ya ulinzi mkali akubali kushindwa na kumpongeza Mheshimiwa Dr. Ruto (PhD) kisha aachiwe baada ya Rais mpya kuapishwa.
Pia, Wasisahau kuzima internet mwezi mzima
Wakenya wakipatiwa chang'aa & mirungi kidogo huwa na tabia ya kutulia tuli kama kichaa aliyemeza dawa zake za kutuliza mcharukoWakenya wenyewe wametulia, domodomo kwa Watanzania
Kafanya nini ?Huyu mwamba Hana cha kupoteza, asipodhibitiwa tutaanza kutafuta wasuluhishi wa kimataifa kusuluhisha Mgogoro. Awekwe chini ya ulinzi mkali akubali kushindwa na kumpongeza Mheshimiwa Dr. Ruto (PhD) kisha aachiwe baada ya Rais mpya kuapishwa.
Pia, Wasisahau kuzima internet mwezi mzima
ID ya Jecha hii..😂😂Anaweza kuwa mwanakijani mbadili matokeo huyo🏃