GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wenye Akili Kubwa tunajua kuwa Raila Odinga anatumiwa na Wazungu ili Kenya inayoenda Kuneemeka na Rais Ruto isitawalike.
Wenye Akili Kubwa tunajua kuwa Raila Odinga anatumiwa (anasaidiwa na Nchi moja jirani) yenye Vita ya chini chini ya Kiuchumi na Kenya ili Machafuko yakitokea yenyewe ifaidike Kibiashara hasa upande wa Bandari.
Wenye Akili Kubwa tunajua kuwa Raila Odinga anatumiwa na Mafia wa Utajiri wa Kenya ili Kinuke (Kichafuke) Kenya na Rais Ruto asalimu Amri na ama ampe Cheo Odinga au kuwe na Serikali ya Mpito ili akishakaa hapo hao Wanaomtuma waendelee Kutafuna Keki Kubwa ya Kenya.
GENTAMYCINE nina uhakika hiki Kitendo cha Kipumbavu anachokifanya Raila Odinga kingefanyika nchini Rwanda kuna Mazuzu wa Taifa Moja (Afrika Mashariki) wenye Chuki na Hasira dhidi ya Wanyarwanda (hasa Watutsi) na Rais Kagame hivi sasa wangekuwa Wanapiga mno Makele Mitandaoni kwa Kulaumu ila kwa Kinachoendelea Kenya wamekaa Kimya (Tuli) utadhani hakuna HATARI ya kutokea kwa Machafuko nchini humo.
Wanafiki wakubwa.
Wenye Akili Kubwa tunajua kuwa Raila Odinga anatumiwa (anasaidiwa na Nchi moja jirani) yenye Vita ya chini chini ya Kiuchumi na Kenya ili Machafuko yakitokea yenyewe ifaidike Kibiashara hasa upande wa Bandari.
Wenye Akili Kubwa tunajua kuwa Raila Odinga anatumiwa na Mafia wa Utajiri wa Kenya ili Kinuke (Kichafuke) Kenya na Rais Ruto asalimu Amri na ama ampe Cheo Odinga au kuwe na Serikali ya Mpito ili akishakaa hapo hao Wanaomtuma waendelee Kutafuna Keki Kubwa ya Kenya.
GENTAMYCINE nina uhakika hiki Kitendo cha Kipumbavu anachokifanya Raila Odinga kingefanyika nchini Rwanda kuna Mazuzu wa Taifa Moja (Afrika Mashariki) wenye Chuki na Hasira dhidi ya Wanyarwanda (hasa Watutsi) na Rais Kagame hivi sasa wangekuwa Wanapiga mno Makele Mitandaoni kwa Kulaumu ila kwa Kinachoendelea Kenya wamekaa Kimya (Tuli) utadhani hakuna HATARI ya kutokea kwa Machafuko nchini humo.
Wanafiki wakubwa.