Toa thread yako iweke j5 kama vpUmejihami kwelikweli kwamba hutaki maswali, anyway, I don't see that happening!!!!!
Sera ya mambo ya nje ya marekani kwa sasa regardless ya Obama kushinda au kushindwa ni lazima raila awe rais wa Kenya, sitaki Maswali ila ukweli ndio huu. La kujiuliza Jeff unajua uhusiano binafsi wa baadhi ya wanasiasa wa tanzania na raila? usikose thread yangu siku ya jumatano nikikufanunulia vema wanasiasa hao na maslahi Yao kwa odinga. They are from both the ruling and opposition get tuned, ila sitaki umbea na speculations hapa.
Hivi Waafrika sisi tuna akili kweli?!! je sera ya Kenya kuhusu nani awe Rais wa US unaijua?!! hebu acheni ujuha huu bana..kwani wakenya hawawezi kuchagua mtu mpaka hao wauaji wa US WASEME?!!
sera ya mambo ya nje ya marekani kwa sasa regardless ya obama kushinda au kushindwa ni lazima raila awe rais wa kenya, sitaki maswali ila ukweli ndio huu. La kujiuliza jeff unajua uhusiano binafsi wa baadhi ya wanasiasa wa tanzania na raila? Usikose thread yangu siku ya jumatano nikikufanunulia vema wanasiasa hao na maslahi yao kwa odinga. They are from both the ruling and opposition get tuned, ila sitaki umbea na speculations hapa.
Shida ya siasa za Kenya zinaendeshwa na ukabila zaidi. Hata uchangiaji wa mada zinazohusu Kenya huwa ni ngumu kuchangiwa na maThinker wa TZ sababu ya mambo hayo.
Kwa mfano ukichukua wakikuyu kumi ukiwaambia waandike humu utaona watamwandika vibaya wa ODM na ukichukua wajaluo kumi nai wataandika ubaya wa TNA. Hii ni mbaya sana kwa demokrasia. Igeni TZ sisi tunaandika ubaya na uzuti ws mtu au chama. Kwa mfano Wasira mkubwa yuko CCM na juzi akina Wasira watoto wamejiunga na Chadema. Hii ndiyo siasa.
Sera ya mambo ya nje ya marekani kwa sasa regardless ya Obama kushinda au kushindwa ni lazima raila awe rais wa Kenya, sitaki Maswali ila ukweli ndio huu. La kujiuliza Jeff unajua uhusiano binafsi wa baadhi ya wanasiasa wa tanzania na raila? usikose thread yangu siku ya jumatano nikikufanunulia vema wanasiasa hao na maslahi Yao kwa odinga. They are from both the ruling and opposition get tuned, ila sitaki umbea na speculations hapa.