Nimetafakari nikaona niweke huu uzi hapa ili tupanuane mawazo.
Juzi Raila Odinga - Kiongozi wa NASA nchini kenya aliapa kama "Raisi wa Watu". Hapakuwa na polisi wala mtu yeyote aliyeingilia kati katiak kupasa huko zaidi ya serikali kuzima vituo vya habari kadhaa kuzuia visirushe tukio hilo. Maswali yangu ni:-
1). Katiba ya kenya inatoa mwongozo upi kwa mtu kuitwa "Raisi wa watu"?
2). Huyo Ojwang sijui (mbunge) aliyekuwepo kweney hilo tukio tunasikia kakamatwa jana. Amekamatwa kwa kosa gani?
3). Huyo Raisi wa Watu anafanya jinai gani hadi akamatwe?
Mods, naomba msiunganishe uzi huu na uzi mwingine kwa sababu una makusudi maalumu ya kufundishana sayansi ya sheria.
Ninaomba wanaojua sheria za Kenya, Wachambuzi wa siasa (wa kweli), wanasayansi za siasa na jamii, wadau na waathirika wa "uraisi wa watu" wa Odinga, waje hapa tupeane maarifa.
Kama huna hoja, unaweza kuuliza ama kusoma na kujifunz akwa wengine.
Karibuni.
Juzi Raila Odinga - Kiongozi wa NASA nchini kenya aliapa kama "Raisi wa Watu". Hapakuwa na polisi wala mtu yeyote aliyeingilia kati katiak kupasa huko zaidi ya serikali kuzima vituo vya habari kadhaa kuzuia visirushe tukio hilo. Maswali yangu ni:-
1). Katiba ya kenya inatoa mwongozo upi kwa mtu kuitwa "Raisi wa watu"?
2). Huyo Ojwang sijui (mbunge) aliyekuwepo kweney hilo tukio tunasikia kakamatwa jana. Amekamatwa kwa kosa gani?
3). Huyo Raisi wa Watu anafanya jinai gani hadi akamatwe?
Mods, naomba msiunganishe uzi huu na uzi mwingine kwa sababu una makusudi maalumu ya kufundishana sayansi ya sheria.
Ninaomba wanaojua sheria za Kenya, Wachambuzi wa siasa (wa kweli), wanasayansi za siasa na jamii, wadau na waathirika wa "uraisi wa watu" wa Odinga, waje hapa tupeane maarifa.
Kama huna hoja, unaweza kuuliza ama kusoma na kujifunz akwa wengine.
Karibuni.