Pastory Kimaryo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 967
- 668
Hii ni kwaajili ya kupata notifications hasa za whatsapp, vitu soft softMb 60 unatumia zile nokia za zamani na browser ya operamin? Saivi utazifanyia kitu gani kwenye hii mi simu yetu ya kisasa..
Yo welcomeDah asante mkuu
Hii utaiona katika kipindi hicho hicho nilichoainisha 06:00 am to 08:00 am, na pia namba yako iwe active kwenye kufanya miamala na vifurushi vingineHii itakua kwa wateja wa Dar labda, maana mimi siioni
😂Mb 60 unatumia zile nokia za zamani na browser ya operamin? Saivi utazifanyia kitu gani kwenye hii mi simu yetu ya kisasa..