Ghaysh
Member
- Feb 12, 2015
- 32
- 52
Je, wewe ni mjasiriamali na unajiuliza ni vipi utaongeza ubora wa bidhaa zako na kuongeza mauzo. Leo Digital Sprayer tunalo jibu la maswali yako. Tumekuletea huduma ya uchapaji(printing) na ubunifu(design) wa label za bidhaa za aina zote kwa gharama nafuu na ubora wa hali ya juu.
LABEL NI NINI?
Label ni kipande cha cha sticker kinachobandikwa au kuzungushiwa kwenye kifungashio cha bidhaa. Kipande hicho huwa na jina la bidhaa na taarifa muhimu za bidhaa hiyo kama vile taarifa za mtengenezaji, mawasiliano ya mtengenezaji, viambata vilivyopo kwenye bidhaa, Jinsi ya kutumia bidhaa husika n.k
Kwa nini utengeneze label za bidhaa zako kwetu?
Leo Digital Sprayer tuna uzoefu wa muda mrefu kwenye nyanja ya ubunifu(design) na uchapaji wa label.
Tunatumia mashine za kisasa kwenye uchapaji na ukataji wa label zetu hivyo kumpunguzia mjasiriamali gharama za ziada na kuokoa muda katika maandalizi ya bidhaa yake.
Tuna malighafi(material) ya aina mbalimbali yanayokidhi na mahitaji ya bidhaa husika na mapendekezo ya mjasiriamali.
Label zetu zinaweza kutumika kwenye bidhaa za aina zote kama vile kwenye chupa za juice, chupa za marashi, makopo ya vipodozi, kontena za vyakula n.k
Huduma zetu nyengine
Tunaprint Tshirt, Non Woven bags, Business & Invitation Cards, Mabango ya aina mbalimbali, Picha mbao, Vikombe n.k
MAWASILIANO:
Tunapatikana Kigogo Njia Panda, Dar es salaam (Tanzania)
Simu: 0784138848, 0764638848
Email: leodigitalsprayer@gmail.com
LABEL NI NINI?
Label ni kipande cha cha sticker kinachobandikwa au kuzungushiwa kwenye kifungashio cha bidhaa. Kipande hicho huwa na jina la bidhaa na taarifa muhimu za bidhaa hiyo kama vile taarifa za mtengenezaji, mawasiliano ya mtengenezaji, viambata vilivyopo kwenye bidhaa, Jinsi ya kutumia bidhaa husika n.k
Kwa nini utengeneze label za bidhaa zako kwetu?
Leo Digital Sprayer tuna uzoefu wa muda mrefu kwenye nyanja ya ubunifu(design) na uchapaji wa label.
Tunatumia mashine za kisasa kwenye uchapaji na ukataji wa label zetu hivyo kumpunguzia mjasiriamali gharama za ziada na kuokoa muda katika maandalizi ya bidhaa yake.
Tuna malighafi(material) ya aina mbalimbali yanayokidhi na mahitaji ya bidhaa husika na mapendekezo ya mjasiriamali.
Label zetu zinaweza kutumika kwenye bidhaa za aina zote kama vile kwenye chupa za juice, chupa za marashi, makopo ya vipodozi, kontena za vyakula n.k
Huduma zetu nyengine
Tunaprint Tshirt, Non Woven bags, Business & Invitation Cards, Mabango ya aina mbalimbali, Picha mbao, Vikombe n.k
MAWASILIANO:
Tunapatikana Kigogo Njia Panda, Dar es salaam (Tanzania)
Simu: 0784138848, 0764638848
Email: leodigitalsprayer@gmail.com