Ofa murua ya kazi

Ofa murua ya kazi

Natafuta kazi

Member
Joined
May 10, 2012
Posts
31
Reaction score
1
haya jamani baada ya kusubiri sana ajira kwa njia halali sasa natangaza ofa ya pesa japo kiduchu tu kwa mtu atakayefanikisha kupata kazi.

changamkieni fasta wadau. Nasubiria PM zenu
 
Jihadhari usiingie wala kuingiza wenzio kwenye mtego wa PCCB, maana dhamira yako si njema kabisa. Alafu kama unapesa kiduchu ...unatafuta kazi ya nini? Wengi wanatafuta ajira baada ya kukosa chanzo cha mapato walau kiduchu
haya jamani baada ya kusubiri sana ajira kwa njia halali sasa natangaza ofa ya pesa japo kiduchu tu kwa mtu atakayefanikisha kupata kazi.

changamkieni fasta wadau. Nasubiria PM zenu
 
Utaweza interview?
Manake siku hizi kuwa short listed ndo msaada. Inabidi uogelee na interview man alone.
ALl the best katika manunuzi.
 
Dah,elimu tunakopa na kazi tunanunua,kaz ipo.
 
Naona hapo mwanzoni kuna mchuano mkali kati ya Natafuta Kazi na M-Mpesa....
Natafuta Kazi anajaribu kutoa ushawishi wa fedha lakini M-Mpesa anachomoa...lol!
 
Back
Top Bottom