Mamylicious
Senior Member
- Apr 22, 2017
- 110
- 100
Synthetic mamy.Nauza cheap sababu namalizia mzigo nilete mpya Na zimebaki hizo chache tu.Mmmh... Human Hair au Synthetic??
Uko wapi?? Nahitaji kununua ila mpaka nizione kwanza.Synthetic mamy.Nauza cheap sababu namalizia mzigo nilete mpya Na zimebaki hizo chache tu.
Niko Arusha.Mikoani natuma.Uko wapi?? Nahitaji kununua ila mpaka nizione kwanza.
Unataka picha gani??weka picha, wengine hatujui kusoma
picha ya hayo mawig mkuu, biashara ushawishiUnataka picha gani??
Okay dear ngoja nitafute mtu aje anichekie. Ntakutafuta PM nikishampata.Niko Arusha.Mikoani natuma.
Utakuwa una matatizo ya macho mkuupicha ya hayo mawig mkuu, biashara ushawishi
OkayOkay dear ngoja nitafute mtu aje anichekie. Ntakutafuta PM nikishampata.
jf wamezifuta zoteUtakuwa una matatizo ya macho mkuu