Poahapan boss ni cmu tu
Hapo kwa S21 ultra 990 ni wizi au simu ina dots kwa screen.Simu kali sana used kutoka dubai zinauzwa bei ya kutupa.
Kuanzia 250,000 unajipatia samsung S7
samsung S8 kwa 290,000
Samsung S9 kwa 320,000
Samsung S9+ kwa 380,000
Samsung S10 kwa 400,000
Samsung S10+ kwa 490,000
Samsung S20 5G kwa 560,000
Samsung S20+ kwa 660,000
Samsung S20 Ultra kwa 840,000
Samsunh S21 Ultra kwa 990,000 tu
TUPO KARIAKOO CHINA PLAZA
MAWASILIANO 0711 707070
View attachment 2443765View attachment 2443766View attachment 2443767View attachment 2443768
Kama S21 990 na S22 ultra utauza bei gani?tupo china plaza duka no 002 ukiingia tu hapo hapo ground flow
Ukaaji wake na chaji upoje mkuu?S8 mimi nayotumia nimechukua 250000 masasi...sina lengo la kukuharibia ila angalau bei hiyo ingekuwa standard tungefurahi wateja wako huenda tuna wapendwa wetu tuwanunulie