Mzizi Tanzania
Member
- Mar 3, 2020
- 70
- 39
45,000/= kwa kila mojaBei je?
Unatumiwa kwa gharama zako mkuuwamikoani tunazipataje.
Unataka kutuambia nini hapo mkuu?COCO CHANEL-----------FRANCE. ORIGINAL
COOC CHANELE--------FAKE** CHINA
Hujui kusoma? Moja original na moja fake, maandishi tu karibu yafanane!!! Fananisha bei zao ndio utajua.Unataka kutuambia nini hapo mkuu?
45,000/= kwa kila moja
Box zima mkuuKila moja unaamisha kwa Box zima au Kila chupa iliyokuwa kwenye Box ndio 45k?