TV4Sale Ofa ya TV

Dazla tech

Member
Joined
Nov 10, 2023
Posts
38
Reaction score
19
TV ziko poa kabisa na ni mpya zilikuwa sampo dukani bei yake ni Tsh170,000/= mikoani pia tunatuma ila gharama ni za kwako mwenyewe, tunapatikana Kariakoo mtaa wa Msimbazi karibia na jengo la simba. TUPIGIE KWA +255 655226738. Karibuni sana ndugu zangu.

 
Bei hiyo,wasiwadi,mnatoa warrant ya muda gani?
 
Duuh nch32 halafu led kwa hiyo bei ndo offa wakati hizo mpya 145,000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…