Habari wakuu
Kuna Room ya kupangisha Makulu- Oysterbay.
SIFA
1. Room ni self contained ( choo ndani)
2. Nje ina sehemu ya kibaraza, unaweza pika nje kwa jiko la mkaa, pia unaweza hifadhi vyombo vya maji nk..
3. Ni sehemu ya washua, hakuna uswahili ndio maana panaitwa Oysterbay.
4. Kuna submeter ya umeme kila room, umeme unaolipa ni matumizi yako tu.
5. Usafiri ni uhakika.
6.Sitakuchaji ya Dalali.
BEI ni 100,000 (100k) kwa mwezi
NB: Room imelipiwa hadi mwezi wa tano, utalipa kodi kuanzia Mwezi wa sita ila utanilipa kodi ya mwezi wa tano ambao mimi nitakuwa nimetoka.
Karibuni PM
Kuna Room ya kupangisha Makulu- Oysterbay.
SIFA
1. Room ni self contained ( choo ndani)
2. Nje ina sehemu ya kibaraza, unaweza pika nje kwa jiko la mkaa, pia unaweza hifadhi vyombo vya maji nk..
3. Ni sehemu ya washua, hakuna uswahili ndio maana panaitwa Oysterbay.
4. Kuna submeter ya umeme kila room, umeme unaolipa ni matumizi yako tu.
5. Usafiri ni uhakika.
6.Sitakuchaji ya Dalali.
BEI ni 100,000 (100k) kwa mwezi
NB: Room imelipiwa hadi mwezi wa tano, utalipa kodi kuanzia Mwezi wa sita ila utanilipa kodi ya mwezi wa tano ambao mimi nitakuwa nimetoka.
Karibuni PM