Hii ndio point maana utasikia oysterbay kumbe ni Msasani mwisho.Tuma picha ya nyumba
O-bay ya idodomya hiyo, si umeona neno Makulu hapoHii ndio point maana utasikia oysterbay kumbe ni Msasani mwisho.
Hii ndio point maana utasikia oysterbay kumbe ni Msasani mwisho.
Mbona chumba kina mlango wa bati afu madirisha ya mifuko ya cement
Duh! Hata hivyo nilishangaa Oysterbay ya Dar kuwe na hiyo bei!
Kuna wapangaji wangapi?Habari wakuu
Kuna Room ya kupangisha Makulu- Oysterbay.
SIFA
1. Room ni self contained ( choo ndani)
2. Nje ina sehemu ya kibaraza, unaweza pika nje kwa jiko la mkaa, pia unaweza hifadhi vyombo vya maji nk..
3. Ni sehemu ya washua, hakuna uswahili ndio maana panaitwa Oysterbay.
4. Kuna submeter ya umeme kila room, umeme unaolipa ni matumizi yako tu.
5. Usafiri ni uhakika.
6.Sitakuchaji ya Dalali.
BEI ni 100,000 (100k) kwa mwezi
NB: Room imelipiwa hadi mwezi wa tano, utalipa kodi kuanzia Mwezi wa sita ila utanilipa kodi ya mwezi wa tano ambao mimi nitakuwa nimetoka.
Karibuni PM
Huyo jamaa nahisi anawachezea akili tu,yupo online hapa JF lakini hataki kuwajibu maswali yenu wala kuleta picha.Kuna wapangaji wangapi?
Msitumie majina ya Oysterbay kuwakilisha ushenziniHabari wakuu
Kuna Room ya kupangisha Makulu- Oysterbay.
SIFA
1. Room ni self contained ( choo ndani)
2. Nje ina sehemu ya kibaraza, unaweza pika nje kwa jiko la mkaa, pia unaweza hifadhi vyombo vya maji nk..
3. Ni sehemu ya washua, hakuna uswahili ndio maana panaitwa Oysterbay.
4. Kuna submeter ya umeme kila room, umeme unaolipa ni matumizi yako tu.
5. Usafiri ni uhakika.
6.Sitakuchaji ya Dalali.
BEI ni 100,000 (100k) kwa mwezi
NB: Room imelipiwa hadi mwezi wa tano, utalipa kodi kuanzia Mwezi wa sita ila utanilipa kodi ya mwezi wa tano ambao mimi nitakuwa nimetoka.
Karibuni PM
Ntalipa 37 alfu, sitatumia choo cha ndani.Ntalipa arubain alfu ntakua situmii kibaraza
🤣View attachment 2597613nimemsaidia aliyetoa tangazo kuweka picha
Mbona Huku kwenu kuna mtaa wa Masaki na Oysterbay, kuna Mbezi Dampo?Msi
Msitumie majina ya Oysterbay kuwakilisha ushenzini