Phone4Sale OFFER: Xiaomi Smartphone for Sale 219000 Tzs

Classic 1

Senior Member
Joined
Sep 11, 2021
Posts
117
Reaction score
113
Smartphone for Sale
Grab this Offer Now!

Xiaomi Redmi 7
Rom: 32 GB ( store more videos, photos,etc)
Ram : 3 GB

Condition: Used but still in a good condition
Battery: 12 hrs +
Delivery: From Dar es Salaam to any region in TZ

OFFER: 219,000 TZs

CALL: 0658 700 510
Serious buyers only!

 
Kwa wale wanaouliza Xiaomi zinatengenezwa nchi gani?

Jibu: Zinatengenezwa China but ubora wake upo juu na bei zake ni mostly affordable ukilinganishwa na competitors wake kama Iphone & Samsung.

Kwasasa Xiaomi wamejipatia umaarufu mkubwa duniani. Na kuna kipindi waliwazidi kimauzo brands nyingine zote kubwa kama iphone na Samsung.

Pia, waweza ku-Google ili uverify nisemayo.
 
Redmi 9A ni 230,000 mpya kabisa
Hivyo mnunuaji aangalie na muuzaji apunguze bei iwe hata 150
Ume-overlook mambo mengi linganisha specifications, model nyingi zenye "A" zinamisss some important issues. Chimba zaidi.

Na bei sio lazima ibaki hiyo. Ikipata serious customer anaweza punguziwa pia. It's not a law.
 
Ume-overlook mambo mengi linganisha specifications, model nyingi zenye "A" zinamisss some important issues. Chimba zaidi.

Na bei sio lazima ibaki hiyo. Ikipata serious customer anaweza punguziwa pia. It's not a law.
Unawaibia watu hicho kisimu hakiwezi uzwa hiyo bei
 
Nimechukua Xiaomi 11T Pro, aisee iko poa sana. Very classic.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…