Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mganda huyo ametua Simba baada ya mvutano mkali na klabu yake ya zamani ya Azam fc. Mchezo wake wa kwanza akiwa Msimbazi utakuwa dhidi ya Azam fc pale Taifa baada ya wiki mbili zijazo.
source: Clouds Tv kupitia kipindi cha Sports bar
cc Amavubi
Tusaidieni, amefanikiwaje kutua Simba wakati Azam wamemwekea ngumu. Tupeni taarifa ya kutosha zaidi
Hii ni kuendeleza utamaduni wa kulinda Undugu baina ya hizi timu 2.
Hivi Simba imeshaenda Unguja kujiandaa na mechi?? Mi sijawahi kusikia Real Madrid inaenda Ibiza kujiandaa na El Classico.. Mpira wa Tz mnapotezeana muda tu
Hii ni kuendeleza utamaduni wa kulinda Undugu baina ya hizi timu 2.
...unavifahamu viwanja vya real madrid wanavyofanyia mazoezi? vinaitwa valdebebas, vipo kwny mazingira yaliyotulia,Msimbazi unataka wafanyie mazoezi wapi?
Siku zote wanafanyia wapi??
..Unguja.
Kwahiyo hata wakicheza na stand wanaenda Unguja