CCM:SHEIN >179809 =50.1%
CUF:SEIF >176338 =49.1%
407658 NDO WALIJIANDIKISHA NA 89%yake NDO WALIPIGA KURA
Majimbo jumla 50 Unguja na Pemba na wagombea wa uraisi walikuwa Saba
Yametangazwa Mbele ya SheiN na Seif kwa kutumia sheria ya 1984 ya uchaguzi
UNDP wameshukuruliwa kwa mchango wao pamoja na JWTZ NA POLICE kwa ulinzi
Source:Tume ya uchaguzi Zanzibar via TBC