Kabisa hata uzoefu wa kwenye ligi ya mabingwa Africa utamsaidi kuja kuisaidia taifa stars kwenye michuano ya AFCONVizuri,naimani atakuja kuisaidia na National Team baada ya kujituma na kupata uzoefu kwenye soka la ushindani huko Misri
Sent using Jamii Forums mobile app
Azam wameonyesha njia nzuri ya vijana wa ktz kupata exposure nje ya TzMshambuliaji wa klabu ya Azam fc na taifa stars Yahya Zayd miaka 20 amesaini rasmi miaka 3 na klabu ya Ismailia ya Misri . Zayd amesajiliwa kuongeza nguvu kwa klabu hiyo iliyopo kindi C katika ligi ya Mabingwa Africa pamoja miamba Tp Mazembe
Ismailia kupitia ukurasa wake wa Twitter imemtambulisha rasmi Mshambuliaji huyo.
View attachment 988749View attachment 988750
Sent using Jamii Forums mobile app