kakuruvi JF-Expert Member Joined Sep 2, 2009 Posts 770 Reaction score 258 Jan 21, 2011 #21 hashycool said: Click to expand... Picha si mbaya ila haikujazwa vizuri imeacha nafasi kubwa juu ya kichwa.
hashycool said: Click to expand... Picha si mbaya ila haikujazwa vizuri imeacha nafasi kubwa juu ya kichwa.
hashycool JF-Expert Member Joined Oct 2, 2010 Posts 6,555 Reaction score 2,837 Jan 21, 2011 Thread starter #22 kakuruvi said: Picha si mbaya ila haikujazwa vizuri imeacha nafasi kubwa juu ya kichwa. Click to expand... nimekusoma
kakuruvi said: Picha si mbaya ila haikujazwa vizuri imeacha nafasi kubwa juu ya kichwa. Click to expand... nimekusoma
Sinkala JF-Expert Member Joined Dec 22, 2008 Posts 1,773 Reaction score 688 Jan 21, 2011 #23 Angechonga nywele zisogee kidogo mbali na uso
C chetuntu R I P Joined Jan 10, 2011 Posts 949 Reaction score 111 Jan 21, 2011 #24 hashycool said: Click to expand... Mkuu nauliza tu kichwani amepaka pico?? ndevu nyeupe !!😛lane:
B Batale JF-Expert Member Joined Nov 20, 2010 Posts 1,148 Reaction score 556 Jan 21, 2011 #25 Ahsante mwana FB kwayo picha nitaiprint na kuiweka kwenye frame nikusanye pesa nchi hii safi sana hakuna kufuatana.
Ahsante mwana FB kwayo picha nitaiprint na kuiweka kwenye frame nikusanye pesa nchi hii safi sana hakuna kufuatana.
Jethro JF-Expert Member Joined Mar 23, 2009 Posts 2,219 Reaction score 371 Jan 21, 2011 #26 hashycool said: Click to expand... Picha iko Poa tu Sasa sielewi nini watu wengine mnachojibizana kana kwamba hamjui kuwa ni kuchangia kama picha hiyo iko sawa au raah au mna ubaguzi??? ingekuwa ya JK duuuuh maneno yange kuwa mengi ya kuponda na kushabikia jamani khaaa
hashycool said: Click to expand... Picha iko Poa tu Sasa sielewi nini watu wengine mnachojibizana kana kwamba hamjui kuwa ni kuchangia kama picha hiyo iko sawa au raah au mna ubaguzi??? ingekuwa ya JK duuuuh maneno yange kuwa mengi ya kuponda na kushabikia jamani khaaa
Masikini_Jeuri JF-Expert Member Joined Jan 19, 2010 Posts 6,829 Reaction score 1,303 Jan 21, 2011 #27 ile smile .............
Masikini_Jeuri JF-Expert Member Joined Jan 19, 2010 Posts 6,829 Reaction score 1,303 Jan 21, 2011 #28 Batale said: Ahsante mwana FB kwayo picha nitaiprint na kuiweka kwenye frame nikusanye pesa nchi hii safi sana hakuna kufuatana. Click to expand... Hapo kwenye bold ndiko mlikoitoa eeh? aah ndo maana tunajadili
Batale said: Ahsante mwana FB kwayo picha nitaiprint na kuiweka kwenye frame nikusanye pesa nchi hii safi sana hakuna kufuatana. Click to expand... Hapo kwenye bold ndiko mlikoitoa eeh? aah ndo maana tunajadili