official picha ya rais wa zanzibar

Angechonga nywele zisogee kidogo mbali na uso
 
Ahsante mwana FB kwayo picha nitaiprint na kuiweka kwenye frame nikusanye pesa nchi hii safi sana hakuna kufuatana.
 

Picha iko Poa tu

Sasa sielewi nini watu wengine mnachojibizana kana kwamba hamjui kuwa ni kuchangia kama picha hiyo iko sawa au raah au mna ubaguzi??? ingekuwa ya JK duuuuh maneno yange kuwa mengi ya kuponda na kushabikia jamani khaaa

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…