babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
KariakooJuzi kafunga mitaa yote ya kaliakoo.
we utakuwa na homa ya haja kubwaHarmonize hamna kitu
Yaani harmonize kama saida karoli!??? Ama kweliiiii[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Ni moja ya masanii ambaye sijawai elewa anachoimba..
Simtofautishi na sjui luludiva,maromboso,lavalava,saida kaloli nk nk
mawazo potofu akipata shida utansaidia wew.Harmonize namshauri atafute mgogoro na Diamond ikiwezekana aondoke WCB ili awe zaidi ya hapo.
we unayako utakuwa ni team kibamiaNi moja ya masanii ambaye sijawai elewa anachoimba..
Simtofautishi na sjui luludiva,maromboso,lavalava,saida kaloli nk nk
homa imekuja bada ya kupumuliwawe utakuwa na homa ya haja kubwa
Mmh ndugu ume mmblame bure tu, coz Kwa kuzingatia kazi ya msanii anaruhusiwa outbreak up grammatical rules ili kufikish intended messageHana hata mtu wa kumsaidia kuhakiki lugha? WIMBO MKUBWA HALAFU , UNAKWENDA STUDIO, UNATAMKA " BENDELA" badala ya BENDERA halafu produzer anaona poa tuu mpaka anautoa hako kakosa cha kijinga kinachokera kwenye masikio ya wasikilizaji hakukiona? wakati anafanya edditing na mixing suala la lugha hakujua lina umuhimu?
Bwana mdogo utakuwa na shida sehemu.. Jitafakari. Amonaizi ni msanii wa kawaida sana..we unayako utakuwa ni team kibamia